Mathayo 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Akajibu, akasema: “Ninyi mmepewa uwezo wa kuzielewa siri takatifu+ za ufalme wa mbinguni, lakini wao hawakupewa.+ Mathayo 13:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 ili litimizwe lililosemwa kupitia nabii aliyesema: “Nitakifungua kinywa changu kwa mifano, nitatangaza mambo yaliyofichwa tangu kuwekwa msingi.”+ Marko 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye akaanza kuwaambia: “Ninyi mmepewa siri takatifu+ ya ufalme wa Mungu, lakini kwa wale walio nje mambo yote yanatukia kwa mifano,+
11 Akajibu, akasema: “Ninyi mmepewa uwezo wa kuzielewa siri takatifu+ za ufalme wa mbinguni, lakini wao hawakupewa.+
35 ili litimizwe lililosemwa kupitia nabii aliyesema: “Nitakifungua kinywa changu kwa mifano, nitatangaza mambo yaliyofichwa tangu kuwekwa msingi.”+
11 Naye akaanza kuwaambia: “Ninyi mmepewa siri takatifu+ ya ufalme wa Mungu, lakini kwa wale walio nje mambo yote yanatukia kwa mifano,+