Mambo ya Walawi 18:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Uchi wa mke wa ndugu yako+ usiufunue. Ni uchi wa ndugu yako. Mambo ya Walawi 20:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na mtu akimchukua mke wa ndugu yake, ni chukizo.+ Ni uchi wa ndugu yake ambao ameufunua. Watakuwa bila mtoto. Mathayo 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana Yohana alikuwa akimwambia: “Si halali wewe kuwa na mwanamke huyo.”+ Waebrania 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+
21 Na mtu akimchukua mke wa ndugu yake, ni chukizo.+ Ni uchi wa ndugu yake ambao ameufunua. Watakuwa bila mtoto.
4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+