Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 18:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Uchi wa mke wa ndugu yako+ usiufunue. Ni uchi wa ndugu yako.

  • Mambo ya Walawi 20:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na mtu akimchukua mke wa ndugu yake, ni chukizo.+ Ni uchi wa ndugu yake ambao ameufunua. Watakuwa bila mtoto.

  • Mathayo 14:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana Yohana alikuwa akimwambia: “Si halali wewe kuwa na mwanamke huyo.”+

  • Waebrania 13:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki