Mathayo 16:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Simoni Petro akajibu, akasema: “Wewe ndiye Kristo,+ Mwana wa Mungu aliye hai.”+ Luka 9:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ndipo akawaambia: “Ingawa hivyo, ninyi mnasema mimi ni nani?” Petro akajibu, akasema:+ “Kristo+ wa Mungu.” Yohana 1:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Kwanza huyu alimpata ndugu yake mwenyewe, Simoni, na kumwambia: “Tumempata Masihi”+ (ambalo linapotafsiriwa humaanisha, Kristo).+ Yohana 6:69 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 69 na sisi tumeamini na tumejua kwamba wewe ndiye Mtakatifu wa Mungu.”+ 1 Yohana 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yeyote anayekiri kwamba Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu,+ Mungu hukaa katika muungano na mtu huyo na yeye katika muungano na Mungu.+
20 Ndipo akawaambia: “Ingawa hivyo, ninyi mnasema mimi ni nani?” Petro akajibu, akasema:+ “Kristo+ wa Mungu.”
41 Kwanza huyu alimpata ndugu yake mwenyewe, Simoni, na kumwambia: “Tumempata Masihi”+ (ambalo linapotafsiriwa humaanisha, Kristo).+
15 Yeyote anayekiri kwamba Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu,+ Mungu hukaa katika muungano na mtu huyo na yeye katika muungano na Mungu.+