Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 16:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Simoni Petro akajibu, akasema: “Wewe ndiye Kristo,+ Mwana wa Mungu aliye hai.”+

  • Luka 9:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Ndipo akawaambia: “Ingawa hivyo, ninyi mnasema mimi ni nani?” Petro akajibu, akasema:+ “Kristo+ wa Mungu.”

  • Yohana 1:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Kwanza huyu alimpata ndugu yake mwenyewe, Simoni, na kumwambia: “Tumempata Masihi”+ (ambalo linapotafsiriwa humaanisha, Kristo).+

  • Yohana 6:69
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 69 na sisi tumeamini na tumejua kwamba wewe ndiye Mtakatifu wa Mungu.”+

  • 1 Yohana 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Yeyote anayekiri kwamba Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu,+ Mungu hukaa katika muungano na mtu huyo na yeye katika muungano na Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki