Mathayo 16:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Simoni Petro akajibu, akasema: “Wewe ndiye Kristo,+ Mwana wa Mungu aliye hai.”+ Luka 4:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Roho waovu pia wakawa wakiwatoka wengi,+ wakipaaza sauti na kusema: “Wewe ndiye Mwana wa Mungu.”+ Lakini, kwa kuwakemea, hakuwa akiwaruhusu kusema,+ kwa sababu walijua kuwa yeye+ ndiye Kristo.+ Yohana 1:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Kwanza huyu alimpata ndugu yake mwenyewe, Simoni, na kumwambia: “Tumempata Masihi”+ (ambalo linapotafsiriwa humaanisha, Kristo).+ Yohana 6:69 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 69 na sisi tumeamini na tumejua kwamba wewe ndiye Mtakatifu wa Mungu.”+
41 Roho waovu pia wakawa wakiwatoka wengi,+ wakipaaza sauti na kusema: “Wewe ndiye Mwana wa Mungu.”+ Lakini, kwa kuwakemea, hakuwa akiwaruhusu kusema,+ kwa sababu walijua kuwa yeye+ ndiye Kristo.+
41 Kwanza huyu alimpata ndugu yake mwenyewe, Simoni, na kumwambia: “Tumempata Masihi”+ (ambalo linapotafsiriwa humaanisha, Kristo).+