Methali 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Anayetegemea utajiri wake—yeye mwenyewe ataanguka;+ lakini waadilifu watasitawi kama majani.+ Mathayo 19:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Kwa kweli ninawaambia ninyi kwamba itakuwa vigumu kwa tajiri kuingia katika ufalme wa mbinguni.+ 1 Timotheo 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hata hivyo, wale ambao wameazimia kuwa matajiri huanguka katika jaribu+ na mtego na tamaa nyingi za kijinga na zenye kudhuru,+ ambazo hutumbukiza watu katika maangamizi na uharibifu.+
23 Lakini Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Kwa kweli ninawaambia ninyi kwamba itakuwa vigumu kwa tajiri kuingia katika ufalme wa mbinguni.+
9 Hata hivyo, wale ambao wameazimia kuwa matajiri huanguka katika jaribu+ na mtego na tamaa nyingi za kijinga na zenye kudhuru,+ ambazo hutumbukiza watu katika maangamizi na uharibifu.+