Methali 26:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa midomo yake, mtu mwenye chuki hujificha asitambuliwe, lakini ndani yake huweka udanganyifu.+ Mathayo 22:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini Yesu, akiujua uovu wao, akasema: “Kwa nini mnanijaribu, enyi wanafiki?+ Marko 12:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Je, tulipe, au tusilipe?”+ Akagundua unafiki wao, akawaambia: “Kwa nini mnanijaribu? Nileteeni dinari niitazame.”+
15 Je, tulipe, au tusilipe?”+ Akagundua unafiki wao, akawaambia: “Kwa nini mnanijaribu? Nileteeni dinari niitazame.”+