Methali 3:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Hutaogopa kitu chochote chenye kuogopesha ghafula,+ wala dhoruba inayowajia waovu, kwa sababu inakuja.+ Mathayo 24:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mtasikia juu ya vita na habari za vita; angalieni kwamba msiogope. Kwa maana mambo hayo lazima yatukie, lakini ule mwisho bado.+ Marko 13:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Zaidi ya hayo, mnaposikia juu ya vita na habari za vita, msiogope; mambo hayo lazima yatukie, lakini ule mwisho bado.+
25 Hutaogopa kitu chochote chenye kuogopesha ghafula,+ wala dhoruba inayowajia waovu, kwa sababu inakuja.+
6 Mtasikia juu ya vita na habari za vita; angalieni kwamba msiogope. Kwa maana mambo hayo lazima yatukie, lakini ule mwisho bado.+
7 Zaidi ya hayo, mnaposikia juu ya vita na habari za vita, msiogope; mambo hayo lazima yatukie, lakini ule mwisho bado.+