Zaburi 27:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu.+ Nitamwogopa nani?+Yehova ni ngome ya uhai wangu.+Nitamhofu nani?+ Danieli 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kama ni hivyo, Mungu ambaye tunamtumikia anaweza kutuokoa. Yeye atatuokoa+ kutoka katika tanuru inayowaka moto na kutoka mkononi mwako, Ee mfalme. Luka 1:74 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 74 kutupa sisi, baada ya kuokolewa kutoka katika mikono ya adui,+ pendeleo la kumtolea utumishi mtakatifu bila woga+ Yohana 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Mioyo yenu isitaabike.+ Iweni na imani katika Mungu,+ iweni na imani pia katika mimi.+ Wafilipi 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 na walio wengi kati ya akina ndugu katika Bwana, wakihisi uhakika kwa sababu ya vifungo vyangu vya gereza, wanaonyesha uhodari hata zaidi kulisema neno la Mungu bila woga.+
27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu.+ Nitamwogopa nani?+Yehova ni ngome ya uhai wangu.+Nitamhofu nani?+
17 Kama ni hivyo, Mungu ambaye tunamtumikia anaweza kutuokoa. Yeye atatuokoa+ kutoka katika tanuru inayowaka moto na kutoka mkononi mwako, Ee mfalme.
74 kutupa sisi, baada ya kuokolewa kutoka katika mikono ya adui,+ pendeleo la kumtolea utumishi mtakatifu bila woga+
14 na walio wengi kati ya akina ndugu katika Bwana, wakihisi uhakika kwa sababu ya vifungo vyangu vya gereza, wanaonyesha uhodari hata zaidi kulisema neno la Mungu bila woga.+