Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 27:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu.+

      Nitamwogopa nani?+

      Yehova ni ngome ya uhai wangu.+

      Nitamhofu nani?+

  • Danieli 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kama ni hivyo, Mungu ambaye tunamtumikia anaweza kutuokoa. Yeye atatuokoa+ kutoka katika tanuru inayowaka moto na kutoka mkononi mwako, Ee mfalme.

  • Luka 1:74
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 74 kutupa sisi, baada ya kuokolewa kutoka katika mikono ya adui,+ pendeleo la kumtolea utumishi mtakatifu bila woga+

  • Yohana 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Mioyo yenu isitaabike.+ Iweni na imani katika Mungu,+ iweni na imani pia katika mimi.+

  • Wafilipi 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 na walio wengi kati ya akina ndugu katika Bwana, wakihisi uhakika kwa sababu ya vifungo vyangu vya gereza, wanaonyesha uhodari hata zaidi kulisema neno la Mungu bila woga.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki