Mathayo 26:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Akasema: “Nendeni jijini kwa Fulani-wa-fulani,+ mkamwambie, Mwalimu anasema, ‘Wakati wangu uliowekwa uko karibu; nitasherehekea pasaka pamoja na wanafunzi wangu nyumbani mwako.’ ”+ Marko 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndipo akawatuma wawili kati ya wanafunzi wake na kuwaambia: “Nendeni jijini, nanyi mtakutana na mwanamume anayebeba chombo cha udongo cha maji.+ Mfuateni,
18 Akasema: “Nendeni jijini kwa Fulani-wa-fulani,+ mkamwambie, Mwalimu anasema, ‘Wakati wangu uliowekwa uko karibu; nitasherehekea pasaka pamoja na wanafunzi wangu nyumbani mwako.’ ”+
13 Ndipo akawatuma wawili kati ya wanafunzi wake na kuwaambia: “Nendeni jijini, nanyi mtakutana na mwanamume anayebeba chombo cha udongo cha maji.+ Mfuateni,