Mathayo 26:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Akasema: “Nendeni jijini kwa Fulani-wa-fulani,+ mkamwambie, Mwalimu anasema, ‘Wakati wangu uliowekwa uko karibu; nitasherehekea pasaka pamoja na wanafunzi wangu nyumbani mwako.’ ”+ Luka 22:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Akawaambia:+ “Tazameni! Mnapoingia katika jiji, mwanamume anayebeba chombo cha udongo cha maji atakutana nanyi. Mfuateni mwingie katika nyumba ambayo ataingia.+
18 Akasema: “Nendeni jijini kwa Fulani-wa-fulani,+ mkamwambie, Mwalimu anasema, ‘Wakati wangu uliowekwa uko karibu; nitasherehekea pasaka pamoja na wanafunzi wangu nyumbani mwako.’ ”+
10 Akawaambia:+ “Tazameni! Mnapoingia katika jiji, mwanamume anayebeba chombo cha udongo cha maji atakutana nanyi. Mfuateni mwingie katika nyumba ambayo ataingia.+