15Na mara tu kulipopambazuka wakuu wa makuhani pamoja na wanaume wazee na waandishi, hata Sanhedrini yote, wakashauriana,+ nao wakamfunga Yesu, wakampeleka na kumtia mikononi mwa Pilato.+
28 Basi wakampeleka Yesu kutoka kwa Kayafa mpaka kwenye jumba la gavana.+ Sasa ilikuwa asubuhi. Lakini wao wenyewe hawakuingia ndani ya jumba la gavana, ili wasipate kutiwa unajisi+ bali wapate kula pasaka.