Methali 18:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mtu wa kwanza katika kesi yake ni mwadilifu;+ mwenzake huingia naye hakika humchunguza kwa undani.+ Waroma 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 hata hivyo, je, wewe unayemfundisha mtu mwingine, hujifundishi mwenyewe?+ Wewe, unayehubiri “Usiibe,”+ je, wewe huiba?+
17 Mtu wa kwanza katika kesi yake ni mwadilifu;+ mwenzake huingia naye hakika humchunguza kwa undani.+
21 hata hivyo, je, wewe unayemfundisha mtu mwingine, hujifundishi mwenyewe?+ Wewe, unayehubiri “Usiibe,”+ je, wewe huiba?+