Mathayo 8:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na, tazama! wakapaaza sauti, na kusema: “Tuna nini nawe, Mwana wa Mungu?+ Je, umekuja hapa kututesa+ kabla ya wakati uliowekwa?”+ Marko 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 na, alipopaaza sauti kubwa,+ akasema: “Nina nini nawe, Yesu, Mwana wa Mungu Aliye Juu Zaidi?+ Ninakuapisha+ kwa Mungu usinitese.”+ Luka 4:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 “Ah! Tuna nini nawe,+ Yesu Mnazareti?+ Je, umekuja kutuangamiza? Ninajua+ wewe ni nani, Mtakatifu wa Mungu.”+
29 Na, tazama! wakapaaza sauti, na kusema: “Tuna nini nawe, Mwana wa Mungu?+ Je, umekuja hapa kututesa+ kabla ya wakati uliowekwa?”+
7 na, alipopaaza sauti kubwa,+ akasema: “Nina nini nawe, Yesu, Mwana wa Mungu Aliye Juu Zaidi?+ Ninakuapisha+ kwa Mungu usinitese.”+
34 “Ah! Tuna nini nawe,+ Yesu Mnazareti?+ Je, umekuja kutuangamiza? Ninajua+ wewe ni nani, Mtakatifu wa Mungu.”+