Waefeso 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Zaidi ya hilo, ninyi ndio ambao Mungu alifanya kuwa hai ingawa mlikuwa wafu katika makosa na dhambi zenu,+ 1 Timotheo 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini mwanamke anayejiingiza katika tamaa za mwili+ amekufa+ ingawa yuko hai.
2 Zaidi ya hilo, ninyi ndio ambao Mungu alifanya kuwa hai ingawa mlikuwa wafu katika makosa na dhambi zenu,+