Methali 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Anayemdharau mwenzake anatenda dhambi,+ lakini mwenye furaha ni yule anayewaonyesha kibali wenye kuteseka.+ Hosea 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana mimi ninapendezwa na fadhili zenye upendo,+ na si dhabihu;+ ninapendezwa na kumjua Mungu kuliko matoleo mazima ya kuteketezwa.+ Mika 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee mtu wa udongo, yeye amekuambia yaliyo mema.+ Na Yehova anataka nini kutoka kwako ila kutenda haki+ na kupenda fadhili+ na kuwa na kiasi+ katika kutembea na Mungu wako?+
21 Anayemdharau mwenzake anatenda dhambi,+ lakini mwenye furaha ni yule anayewaonyesha kibali wenye kuteseka.+
6 Kwa maana mimi ninapendezwa na fadhili zenye upendo,+ na si dhabihu;+ ninapendezwa na kumjua Mungu kuliko matoleo mazima ya kuteketezwa.+
8 Ee mtu wa udongo, yeye amekuambia yaliyo mema.+ Na Yehova anataka nini kutoka kwako ila kutenda haki+ na kupenda fadhili+ na kuwa na kiasi+ katika kutembea na Mungu wako?+