Luka 6:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Endeleeni kuwa wenye rehema, kama vile Baba yenu alivyo mwenye rehema.+ Yohana 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ikiwa mnajua mambo haya, wenye furaha ni ninyi ikiwa mnayatenda.+ Waefeso 4:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Bali iweni wenye fadhili+ ninyi kwa ninyi, wenye huruma nyororo,+ mkisameheana kwa hiari kama vile Mungu pia kupitia Kristo alivyowasamehe ninyi kwa hiari.+
32 Bali iweni wenye fadhili+ ninyi kwa ninyi, wenye huruma nyororo,+ mkisameheana kwa hiari kama vile Mungu pia kupitia Kristo alivyowasamehe ninyi kwa hiari.+