Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye Musa akaanza kuutuliza uso wa Yehova Mungu+ wake na kusema: “Kwa nini, Ee Yehova, hasira+ yako iwake juu ya watu wako ambao uliwatoa katika nchi ya Misri kwa nguvu kuu na kwa mkono wenye nguvu?

  • Yoeli 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Makuhani, walio wahudumu wa Yehova, na walie kati ya ukumbi na madhabahu,+ wakisema, ‘Ee Yehova, wasikitikie watu wako, usiufanye urithi wako kuwa shutuma,+ mataifa wawatawale. Kwa nini waseme kati ya makabila ya watu: “Yuko wapi Mungu wao?” ’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki