Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini siku ya saba ni sabato kwa Yehova Mungu wako.+ Usifanye kazi yoyote,+ wewe wala mwana wako wala binti yako wala mtumishi wako wala kijakazi wako wala ng’ombe wako wala mkaaji mgeni wako aliye ndani ya malango yako,+ ili mtumishi wako na kijakazi wako wapate kupumzika kama wewe.+

  • Mathayo 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 na, tazama! mtu mwenye mkono uliopooza!+ Kwa hiyo ili wapate jambo la kumshitaki wakamuuliza, “Je, ni halali kuponya siku ya sabato?”+

  • Marko 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa hiyo walikuwa wakimchunguza sana waone kama angemponya mtu huyo katika siku ya sabato, ili wapate kumshtaki.+

  • Yohana 5:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa hiyo Wayahudi wakamtesa+ Yesu, kwa sababu alikuwa akifanya mambo hayo wakati wa siku ya Sabato.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki