Mathayo 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 na, tazama! mtu mwenye mkono uliopooza!+ Kwa hiyo ili wapate jambo la kumshitaki wakamuuliza, “Je, ni halali kuponya siku ya sabato?”+ Luka 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Waandishi na Mafarisayo sasa walikuwa wakimchunguza+ sana waone kama angeponya katika siku ya sabato, ili wapate njia fulani ya kumshtaki.+ Luka 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na pindi fulani alipoingia ndani ya nyumba ya mtu fulani, mmoja kati ya watawala wa Mafarisayo katika siku ya sabato ili kula mlo,+ walikuwa wakimchunguza sana.+
10 na, tazama! mtu mwenye mkono uliopooza!+ Kwa hiyo ili wapate jambo la kumshitaki wakamuuliza, “Je, ni halali kuponya siku ya sabato?”+
7 Waandishi na Mafarisayo sasa walikuwa wakimchunguza+ sana waone kama angeponya katika siku ya sabato, ili wapate njia fulani ya kumshtaki.+
14 Na pindi fulani alipoingia ndani ya nyumba ya mtu fulani, mmoja kati ya watawala wa Mafarisayo katika siku ya sabato ili kula mlo,+ walikuwa wakimchunguza sana.+