Mathayo 21:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Ndiyo sababu ninawaambia ninyi, Ufalme wa Mungu utachukuliwa kutoka kwenu na kupewa taifa lenye kuzaa matunda yake.+ Mathayo 22:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ndipo akawaambia watumwa wake, ‘Karamu ya ndoa kwa kweli iko tayari, lakini wale walioalikwa hawakustahili.+ Waebrania 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo tunaona kwamba hawakuweza kuingia kwa sababu ya kukosa imani.+
43 Ndiyo sababu ninawaambia ninyi, Ufalme wa Mungu utachukuliwa kutoka kwenu na kupewa taifa lenye kuzaa matunda yake.+
8 Ndipo akawaambia watumwa wake, ‘Karamu ya ndoa kwa kweli iko tayari, lakini wale walioalikwa hawakustahili.+