Methali 8:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Yehova mwenyewe alinitokeza nikiwa mwanzo wa njia yake,+ nikiwa wa mapema zaidi kati ya kazi zake za zamani za kale.+ Wakolosai 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yeye ndiye mfano+ wa Mungu asiyeonekana,+ mzaliwa wa kwanza+ wa viumbe vyote; Ufunuo 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Na kwa malaika wa kutaniko katika Laodikia+ andika: Haya ndiyo mambo anayosema Amina,+ shahidi+ mwaminifu+ na wa kweli,+ mwanzo wa uumbaji wa Mungu,+
22 “Yehova mwenyewe alinitokeza nikiwa mwanzo wa njia yake,+ nikiwa wa mapema zaidi kati ya kazi zake za zamani za kale.+
14 “Na kwa malaika wa kutaniko katika Laodikia+ andika: Haya ndiyo mambo anayosema Amina,+ shahidi+ mwaminifu+ na wa kweli,+ mwanzo wa uumbaji wa Mungu,+