31 Lakini haya yameandikwa+ ili mpate kuamini kwamba Yesu ndiye Kristo Mwana wa Mungu, na kwamba, kwa sababu ya kuamini,+ mpate kuwa na uzima kupitia jina lake.
24 Huyo ndiye mwanafunzi+ ambaye anatoa ushahidi juu ya mambo haya na ambaye aliyaandika mambo haya, na sisi tunajua kwamba ushahidi anaotoa ni wa kweli.+
1Kile kilichokuwa tangu mwanzo,+ ambacho tumesikia,+ ambacho tumeona kwa macho yetu,+ ambacho tumetazama+ kwa uangalifu na mikono yetu ikakigusa,+ kuhusu neno la uzima,+