3 Abarikiwe Mungu na Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo,+ kwa maana kulingana na rehema yake kubwa alituzaa+ sisi upya kwenye tumaini lililo hai+ kupitia ufufuo+ wa Yesu Kristo kutoka kwa wafu,
23 Kwa maana mmezaliwa upya,+ si kupitia mbegu yenye kuharibika,+ bali kupitia ile isiyoharibika+ yenye kuzaa,+ kupitia neno la Mungu+ aliye hai na anayedumu.+
9 Kila mtu ambaye amezaliwa kutokana na Mungu haendelei kufanya dhambi,+ kwa sababu mbegu Yake yenye kuzaa hukaa ndani ya mtu huyo, naye hawezi kuwa na mazoea ya kufanya dhambi, kwa sababu amezaliwa kutokana na Mungu.+