Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 nao walizaliwa, si kutokana na damu au kutokana na mapenzi ya mwili au kutokana na mapenzi ya mwanadamu, bali kutokana na Mungu.+

  • 2 Wakorintho 5:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi ikiwa yeyote yuko katika muungano na Kristo, yeye ni kiumbe kipya;+ mambo ya zamani yalipitilia mbali,+ tazama! mambo mapya yamekuja kuwako.+

  • Wagalatia 6:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana tohara si kitu wala kutotahiriwa,+ bali kiumbe kipya+ ndicho kitu.

  • 1 Petro 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Abarikiwe Mungu na Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo,+ kwa maana kulingana na rehema yake kubwa alituzaa+ sisi upya kwenye tumaini lililo hai+ kupitia ufufuo+ wa Yesu Kristo kutoka kwa wafu,

  • 1 Petro 1:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana mmezaliwa upya,+ si kupitia mbegu yenye kuharibika,+ bali kupitia ile isiyoharibika+ yenye kuzaa,+ kupitia neno la Mungu+ aliye hai na anayedumu.+

  • 1 Yohana 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kila mtu ambaye amezaliwa kutokana na Mungu haendelei kufanya dhambi,+ kwa sababu mbegu Yake yenye kuzaa hukaa ndani ya mtu huyo, naye hawezi kuwa na mazoea ya kufanya dhambi, kwa sababu amezaliwa kutokana na Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki