Yohana 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Zaidi ya hayo, hakuna mtu ambaye amepanda kuingia mbinguni+ ila yule aliyeshuka kutoka mbinguni,+ Mwana wa binadamu.+ Yohana 6:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 kwa sababu nimeshuka kutoka mbinguni+ kufanya, si mapenzi yangu, bali mapenzi yake aliyenituma.+ Yohana 8:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa hiyo akaendelea kuwaambia: “Ninyi mnatoka kwenye makao ya chini; mimi ninatoka kwenye makao ya juu.+ Ninyi mnatoka katika ulimwengu+ huu; mimi sitoki katika ulimwengu huu.+ Matendo 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na alipokuwa amesema mambo hayo, huku walipokuwa wakitazama, akainuliwa+ na wingu likamchukua juu kutoka machoni pao.+ Waefeso 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo anasema: “Alipopanda juu alichukua mateka; alitoa zawadi katika wanadamu.”+
13 Zaidi ya hayo, hakuna mtu ambaye amepanda kuingia mbinguni+ ila yule aliyeshuka kutoka mbinguni,+ Mwana wa binadamu.+
23 Kwa hiyo akaendelea kuwaambia: “Ninyi mnatoka kwenye makao ya chini; mimi ninatoka kwenye makao ya juu.+ Ninyi mnatoka katika ulimwengu+ huu; mimi sitoki katika ulimwengu huu.+
9 Na alipokuwa amesema mambo hayo, huku walipokuwa wakitazama, akainuliwa+ na wingu likamchukua juu kutoka machoni pao.+