Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Zaidi ya hayo, hakuna mtu ambaye amepanda kuingia mbinguni+ ila yule aliyeshuka kutoka mbinguni,+ Mwana wa binadamu.+

  • Yohana 6:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 kwa sababu nimeshuka kutoka mbinguni+ kufanya, si mapenzi yangu, bali mapenzi yake aliyenituma.+

  • Yohana 8:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa hiyo akaendelea kuwaambia: “Ninyi mnatoka kwenye makao ya chini; mimi ninatoka kwenye makao ya juu.+ Ninyi mnatoka katika ulimwengu+ huu; mimi sitoki katika ulimwengu huu.+

  • Matendo 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na alipokuwa amesema mambo hayo, huku walipokuwa wakitazama, akainuliwa+ na wingu likamchukua juu kutoka machoni pao.+

  • Waefeso 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa hiyo anasema: “Alipopanda juu alichukua mateka; alitoa zawadi katika wanadamu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki