Zaburi 68:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Umepanda juu;+Umechukua mateka;+Umechukua zawadi katika namna ya wanadamu,+Naam, hata walio wakaidi,+ ili kukaa kati yao,+ Ee Yah Mungu. 1 Wakorintho 12:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Naye Mungu amewaweka watu mbalimbali katika kutaniko,+ kwanza, mitume;+ pili, manabii;+ tatu, walimu,+ kisha matendo yenye nguvu;+ kisha zawadi za maponyo;+ utumishi wenye msaada,+ uwezo wa kuelekeza,+ lugha tofauti.+ Waefeso 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye alitoa wengine kuwa mitume,+ wengine kuwa manabii,+ wengine kuwa waeneza-injili,+ wengine kuwa wachungaji na walimu,+
18 Umepanda juu;+Umechukua mateka;+Umechukua zawadi katika namna ya wanadamu,+Naam, hata walio wakaidi,+ ili kukaa kati yao,+ Ee Yah Mungu.
28 Naye Mungu amewaweka watu mbalimbali katika kutaniko,+ kwanza, mitume;+ pili, manabii;+ tatu, walimu,+ kisha matendo yenye nguvu;+ kisha zawadi za maponyo;+ utumishi wenye msaada,+ uwezo wa kuelekeza,+ lugha tofauti.+
11 Naye alitoa wengine kuwa mitume,+ wengine kuwa manabii,+ wengine kuwa waeneza-injili,+ wengine kuwa wachungaji na walimu,+