Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 24:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na malaika+ akaendelea kunyoosha mkono wake kuelekea Yerusalemu ili kuliangamiza; na Yehova akaanza kujuta+ kuhusu msiba ule, na kwa hiyo akamwambia yule malaika aliyekuwa akiwaangamiza watu: “Imetosha! Sasa angusha mkono wako.” Na yule malaika wa Yehova alikuwa karibu na uwanja wa kupuria wa Arauna+ Myebusi.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 21:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Tena, Mungu wa kweli akatuma malaika katika Yerusalemu ili kuliangamiza;+ na mara tu alipoanza kuleta maangamizi, Yehova akaona hilo, akaanza kujuta kuhusu msiba ule;+ na kwa hiyo akamwambia yule malaika aliyekuwa akiangamiza: “Imetosha!+ Sasa angusha mkono wako.” Na yule malaika wa Yehova alikuwa amesimama karibu na uwanja wa kupuria wa Ornani+ Myebusi.+

  • Waefeso 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye alitoa wengine kuwa mitume,+ wengine kuwa manabii,+ wengine kuwa waeneza-injili,+ wengine kuwa wachungaji na walimu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki