-
2 Samweli 24:16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Na malaika+ akaendelea kunyoosha mkono wake kuelekea Yerusalemu ili kuliangamiza; na Yehova akaanza kujuta+ kuhusu msiba ule, na kwa hiyo akamwambia yule malaika aliyekuwa akiwaangamiza watu: “Imetosha! Sasa angusha mkono wako.” Na yule malaika wa Yehova alikuwa karibu na uwanja wa kupuria wa Arauna+ Myebusi.+
-
-
1 Mambo ya Nyakati 21:15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 Tena, Mungu wa kweli akatuma malaika katika Yerusalemu ili kuliangamiza;+ na mara tu alipoanza kuleta maangamizi, Yehova akaona hilo, akaanza kujuta kuhusu msiba ule;+ na kwa hiyo akamwambia yule malaika aliyekuwa akiangamiza: “Imetosha!+ Sasa angusha mkono wako.” Na yule malaika wa Yehova alikuwa amesimama karibu na uwanja wa kupuria wa Ornani+ Myebusi.+
-