Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 5:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Makosa yake mwenyewe yatamkamata mwovu,+ naye atashikwa katika kamba za dhambi yake mwenyewe.+

  • Waroma 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 kwa sababu tunajua kwamba utu wetu wa zamani ulitundikwa mtini pamoja naye,+ ili mwili wetu wenye dhambi ufanywe kuwa usiotenda,+ ili tusiendelee tena kuwa watumwa wa dhambi.+

  • Waroma 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Je, hamjui kwamba ikiwa mnaendelea kujitoa wenyewe kwa yeyote kuwa watumwa ili kumtii yeye, ninyi ni watumwa wake kwa sababu mnamtii yeye,+ ama watumwa wa dhambi+ kwa kutazamia kifo+ ama wa utii+ kwa kutazamia uadilifu?+

  • Waroma 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana tunajua kwamba Sheria ni ya kiroho;+ lakini mimi ni wa kimwili, nimeuzwa chini ya dhambi.+

  • 2 Petro 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Huku wakiwaahidia uhuru,+ wao wenyewe ni watumwa wa uharibifu.+ Kwa maana yeyote anayeshindwa na mwingine hufanywa mtumwa na huyu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki