24 Kwa kweli kabisa ninawaambia ninyi, Yule ambaye husikia neno langu na kumwamini yule aliyenituma ana uzima wa milele,+ naye haingii hukumuni bali amevuka kutoka katika kifo na kuingia katika uzima.+
54 Lakini huu ulio wenye kuharibika utakapovaa kutoweza kuharibika na huu unaoweza kufa utakapovaa kutoweza kufa, ndipo litakapotimia hili neno lililoandikwa: “Kifo+ kimemezwa milele.”+
6 Mwenye furaha+ na mtakatifu+ ni yeyote aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza; kifo cha pili+ hakina mamlaka juu ya hao,+ bali watakuwa makuhani+ wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala wakiwa wafalme pamoja naye ile miaka elfu.+