Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 5:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa kweli kabisa ninawaambia ninyi, Yule ambaye husikia neno langu na kumwamini yule aliyenituma ana uzima wa milele,+ naye haingii hukumuni bali amevuka kutoka katika kifo na kuingia katika uzima.+

  • Yohana 11:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 na kila mtu aliye hai na ananiamini hatakufa kamwe.+ Je, unaamini hilo?”

  • 1 Wakorintho 15:54
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 54 Lakini huu ulio wenye kuharibika utakapovaa kutoweza kuharibika na huu unaoweza kufa utakapovaa kutoweza kufa, ndipo litakapotimia hili neno lililoandikwa: “Kifo+ kimemezwa milele.”+

  • Ufunuo 20:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mwenye furaha+ na mtakatifu+ ni yeyote aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza; kifo cha pili+ hakina mamlaka juu ya hao,+ bali watakuwa makuhani+ wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala wakiwa wafalme pamoja naye ile miaka elfu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki