Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 4:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mara moja wakaziacha nyavu,+ wakamfuata.

  • Mathayo 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Halafu, alipokuwa akiondoka mahali hapo, Yesu akamwona mtu anayeitwa Mathayo akiwa ameketi kwenye ofisi ya kodi, naye akamwambia: “Uwe mfuasi wangu.”+ Akasimama mara moja na kumfuata.+

  • Ufunuo 14:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hao ndio wale ambao hawakujitia unajisi na wanawake;+ kwa kweli, wao ni mabikira.+ Hao ndio wale wanaoendelea kumfuata Mwana-Kondoo popote anapoenda.+ Hao walinunuliwa+ kutoka kati ya wanadamu wakiwa matunda ya kwanza+ kwa Mungu na kwa Mwana-Kondoo,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki