Yohana 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yesu akamwambia: “Yule ambaye ameoga+ hahitaji kuoshwa zaidi ya miguu yake, bali yuko safi mwili wote. Nanyi mko safi, lakini si ninyi nyote.” Yohana 17:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Watakase+ kwa njia ya ile kweli; neno+ lako ni kweli.+ Matendo 15:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye hakufanya tofauti hata kidogo kati yetu na wao,+ bali aliisafisha mioyo yao kwa imani.+ 1 Petro 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Sasa kwa kuwa mmezitakasa+ nafsi zenu kwa kuwa watiifu kwa ile kweli tokeo likiwa ni upendo wa kindugu usio na unafiki,+ pendaneni sana kutoka moyoni.+
10 Yesu akamwambia: “Yule ambaye ameoga+ hahitaji kuoshwa zaidi ya miguu yake, bali yuko safi mwili wote. Nanyi mko safi, lakini si ninyi nyote.”
22 Sasa kwa kuwa mmezitakasa+ nafsi zenu kwa kuwa watiifu kwa ile kweli tokeo likiwa ni upendo wa kindugu usio na unafiki,+ pendaneni sana kutoka moyoni.+