Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “‘Na siku hii itakuwa ukumbusho kwenu, nanyi mtaisherehekea ikiwa sherehe kwa Yehova katika vizazi vyenu vyote. Nanyi mtaisherehekea kama sheria mpaka wakati usio na kipimo.

  • Hesabu 28:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Na katika mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi huo, itakuwa pasaka ya Yehova.+

  • Kumbukumbu la Torati 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Mwezi wa Abibu+ na uadhimishwe, nawe utasherehekea pasaka kwa Yehova Mungu wako,+ kwa sababu katika mwezi wa Abibu Yehova Mungu wako alikutoa Misri wakati wa usiku.+

  • Yohana 11:55
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 Sasa pasaka+ ya Wayahudi ilikuwa karibu, na watu wengi walipanda kutoka nchi hiyo mpaka Yerusalemu kabla ya pasaka kusudi wajitakase kisherehe.+

  • Yohana 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi, siku sita kabla ya pasaka, Yesu alifika Bethania,+ alikokuwa Lazaro+ ambaye Yesu alikuwa amemfufua kutoka kwa wafu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki