11 “Pia, mimi simo tena ulimwenguni, bali wao wamo ulimwenguni+ nami ninakuja kwako. Baba Mtakatifu, walinde+ kwa sababu ya jina lako ambalo umenipa, ili wawe kitu kimoja kama vile sisi tulivyo.+
3 kile ambacho tumeona na kusikia tunawapa ninyi habari pia,+ ili ninyi pia muwe na ushirika pamoja na sisi.+ Zaidi ya hilo, huu ushirika+ wetu ni pamoja na Baba na pamoja na Mwana wake Yesu Kristo.+
24 Zaidi ya hayo, yeye ambaye hushika amri zake hukaa katika muungano na yeye, na yeye katika muungano na mtu huyo;+ na kwa jambo hili sisi tunajua kwamba yeye anakaa katika muungano na sisi,+ kwa sababu ya roho+ ambayo alitupa sisi.