4 Kaeni katika muungano pamoja nami, na mimi katika muungano pamoja nanyi.+ Kama vile tawi lisivyoweza kuzaa matunda likiwa peke yake lisipokaa katika mzabibu, vivyo hivyo ninyi hamwezi, msipokaa katika muungano pamoja nami.+
24 Kwa habari yenu, acheni lile ambalo mmesikia tangu mwanzo likae ndani yenu.+ Ikiwa lile ambalo mmesikia tangu mwanzo linakaa ndani yenu, ninyi pia mtakaa katika muungano+ na Mwana na katika muungano na Baba.+