Waroma 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 au yeye anayehimiza, na awe katika kuhimiza+ kwake; yeye anayegawa, na afanye hivyo kwa ukarimu;+ yeye anayesimamia,+ na afanye hivyo kwa bidii ya kweli; yeye anayeonyesha rehema,+ na afanye hivyo kwa uchangamfu.
8 au yeye anayehimiza, na awe katika kuhimiza+ kwake; yeye anayegawa, na afanye hivyo kwa ukarimu;+ yeye anayesimamia,+ na afanye hivyo kwa bidii ya kweli; yeye anayeonyesha rehema,+ na afanye hivyo kwa uchangamfu.