1 Wathesalonike 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Sasa tunawaomba ninyi, akina ndugu, mwatilie maanani wale wanaofanya kazi kwa bidii kati yenu na kuwasimamia+ ninyi katika Bwana na kuwaonya ninyi; 1 Petro 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Lichungeni+ kundi la Mungu+ lililo chini ya uangalizi wenu, si kwa kulazimishwa, bali kwa kupenda;+ wala si kwa kupenda pato lisilo la haki,+ bali kwa hamu;
12 Sasa tunawaomba ninyi, akina ndugu, mwatilie maanani wale wanaofanya kazi kwa bidii kati yenu na kuwasimamia+ ninyi katika Bwana na kuwaonya ninyi;
2 Lichungeni+ kundi la Mungu+ lililo chini ya uangalizi wenu, si kwa kulazimishwa, bali kwa kupenda;+ wala si kwa kupenda pato lisilo la haki,+ bali kwa hamu;