Kumbukumbu la Torati 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana maskini hatakosa kamwe kuwako katika nchi.+ Ndiyo sababu ninakuamuru, na kusema, ‘Unapaswa kuufungua mkono wako kwa ukarimu kwa ndugu yako anayeteseka na aliye maskini katika nchi yako.’+ Methali 11:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nafsi yenye ukarimu hiyo yenyewe itanoneshwa,+ naye anayenywesha wengine kwa ukarimu yeye mwenyewe pia atanyweshwa kwa ukarimu.+ 2 Wakorintho 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kwamba wakati wa jaribu kubwa chini ya mateso shangwe yao nyingi na umaskini mkubwa ulifanya utajiri wa ukarimu wao uwe mwingi.+
11 Kwa maana maskini hatakosa kamwe kuwako katika nchi.+ Ndiyo sababu ninakuamuru, na kusema, ‘Unapaswa kuufungua mkono wako kwa ukarimu kwa ndugu yako anayeteseka na aliye maskini katika nchi yako.’+
25 Nafsi yenye ukarimu hiyo yenyewe itanoneshwa,+ naye anayenywesha wengine kwa ukarimu yeye mwenyewe pia atanyweshwa kwa ukarimu.+
2 kwamba wakati wa jaribu kubwa chini ya mateso shangwe yao nyingi na umaskini mkubwa ulifanya utajiri wa ukarimu wao uwe mwingi.+