Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 12:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Lakini akawapungia+ mkono wanyamaze na kuwaambia kirefu jinsi Yehova alivyomtoa gerezani, naye akasema: “Waambieni Yakobo+ na akina ndugu mambo haya.” Ndipo akatoka, akasafiri kwenda mahali pengine.

  • Matendo 15:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Walipomaliza kusema, Yakobo akajibu, akisema: “Wanaume, akina ndugu, nisikieni.+

  • Wagalatia 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini sikuona mwingine yeyote wa wale mitume, isipokuwa Yakobo+ ndugu+ ya Bwana.

  • Wagalatia 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 ndiyo, walipokuja kujua fadhili zisizostahiliwa+ nilizopewa,+ Yakobo+ na Kefa na Yohana, wale walioonekana kuwa nguzo,+ walinipa mimi na Barnaba+ mkono wa kuume wa kushirikiana pamoja,+ ili sisi twende kwa mataifa, bali wao waende kwa wale waliotahiriwa.

  • Yakobo 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Yakobo,+ mtumwa+ wa Mungu na wa Bwana Yesu Kristo, kwa makabila+ kumi na mawili yaliyotawanyika+ huku na huku:

      Salamu!

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki