Matendo 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndiyo, ninyi mlimkana huyo aliye mtakatifu na mwadilifu,+ nanyi mkaomba mpewe kwa hiari mwanamume, muuaji,+ Waebrania 7:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana kuhani mkuu wa namna hiyo alitufaa sisi,+ mshikamanifu,+ asiye na hila,+ asiye na unajisi,+ aliyetengwa kutoka kwa watenda-dhambi,+ na kuwa juu zaidi kuliko mbingu.+
14 Ndiyo, ninyi mlimkana huyo aliye mtakatifu na mwadilifu,+ nanyi mkaomba mpewe kwa hiari mwanamume, muuaji,+
26 Kwa maana kuhani mkuu wa namna hiyo alitufaa sisi,+ mshikamanifu,+ asiye na hila,+ asiye na unajisi,+ aliyetengwa kutoka kwa watenda-dhambi,+ na kuwa juu zaidi kuliko mbingu.+