Mathayo 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Jihadharini na watu;+ kwa maana watawapeleka mahakamani,+ nao watawapiga ninyi mijeledi+ katika masinagogi yao.+ Luka 21:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Lakini kabla ya mambo yote hayo watu watawakamata na kuwatesa,+ wakiwakabidhi ninyi kwenye masinagogi na magereza, mkikokotwa na kupelekwa mbele ya wafalme na magavana kwa ajili ya jina langu.+
17 Jihadharini na watu;+ kwa maana watawapeleka mahakamani,+ nao watawapiga ninyi mijeledi+ katika masinagogi yao.+
12 “Lakini kabla ya mambo yote hayo watu watawakamata na kuwatesa,+ wakiwakabidhi ninyi kwenye masinagogi na magereza, mkikokotwa na kupelekwa mbele ya wafalme na magavana kwa ajili ya jina langu.+