Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 24:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kutoka kwake wewe mwenyewe unaweza kugundua kwa kumhoji juu ya mambo haya yote ambayo sisi tunamshtaki.”

  • Matendo 25:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Kwa sababu hiyo acheni wale walio na mamlaka kati yenu,” akasema, “washuke pamoja nami na kumshtaki,+ ikiwa kuna jambo lolote lisilofaa juu ya mwanamume huyo.”

  • Matendo 25:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ikiwa, kwa upande mmoja, mimi ni mkosaji+ kwa kweli na nimefanya jambo lolote linalostahili kifo,+ sikatai kufa; ikiwa, kwa upande mwingine, hakuna hata moja la mambo hayo ambalo watu hawa wananishtakia, hakuna mtu anayeweza kunikabidhi kwao ili kupata kibali. Ninakata rufani kwa Kaisari!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki