24Siku tano baadaye kuhani mkuu Anania+ akashuka pamoja na wanaume fulani wazee na msemaji wa hadharani, Tertulo, nao wakamweleza+ gavana+ juu ya Paulo.
16 Lakini nikawajibu kwamba si utaratibu wa Kiroma kukabidhi mtu yeyote ili kupata kibali kabla ya mtu huyo aliyeshtakiwa kukutana uso kwa uso na washtaki+ wake na kupata nafasi ya kujitetea kuhusu malalamishi.