29 Kwa hiyo jiji likajaa mvurugo, na kwa umoja wakatimua mbio na kuingia jumba la maonyesho, wakawachukua kwa nguvu pamoja nao Gayo na Aristarko,+ Wamakedonia, wasafiri waliokuwa wakiandamana na Paulo.
4 Hawa waliandamana naye, Sopatro+ mwana wa Piro wa Beroya, Aristarko+ na Sekundo wa Wathesalonike, na Gayo wa Derbe, na Timotheo,+ na kutoka wilaya ya Asia Tikiko+ na Trofimo.+
10 Aristarko+ mateka mwenzangu anawatumia ninyi salamu zake, na pia Marko+ binamu ya Barnaba, (ambaye mlipokea amri kumhusu yeye ili mkamkaribishe+ ikiwa atakuja kwenu,)