Marko 7:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Huko wakamletea mtu aliye kiziwi na mwenye kizuizi cha usemi, nao wakamsihi aweke mkono wake juu yake.+ Matendo 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na Mungu akazidi kufanya kazi za nguvu zinazozidi za kawaida kupitia mikono ya Paulo,+ 1 Wakorintho 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 mwingine imani+ kwa roho ileile, mwingine zawadi za maponyo+ kwa roho moja hiyo,
32 Huko wakamletea mtu aliye kiziwi na mwenye kizuizi cha usemi, nao wakamsihi aweke mkono wake juu yake.+