34 Pia, Simeoni akawabariki wao, lakini akamwambia Maria mama yake: “Tazama! Huyu amewekwa kwa ajili ya kuanguka+ na kusimama tena kwa wengi katika Israeli+ na kuwa ishara itakayosemwa vibaya+
19 Kama mngekuwa sehemu ya ulimwengu, ulimwengu ungependa kilicho chake.+ Sasa kwa sababu ninyi si sehemu ya ulimwengu, bali nimewachagua ninyi kutoka ulimwenguni,+ kwa sababu hiyo ulimwengu unawachukia ninyi.+