Mwanzo 21:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye Abrahamu akamtahiri Isaka mwana wake akiwa na umri wa siku nane, kama Mungu alivyokuwa amemwamuru.+ Mambo ya Walawi 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na siku ya nane ngozi ya govi la mtoto huyo itatahiriwa.+ Luka 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi siku nane+ zilipotimia ili kumtahiri,+ akaitwa pia jina lake Yesu,+ lile jina aliloitwa na malaika kabla hajachukuliwa mimba katika tumbo la uzazi.+
4 Naye Abrahamu akamtahiri Isaka mwana wake akiwa na umri wa siku nane, kama Mungu alivyokuwa amemwamuru.+
21 Basi siku nane+ zilipotimia ili kumtahiri,+ akaitwa pia jina lake Yesu,+ lile jina aliloitwa na malaika kabla hajachukuliwa mimba katika tumbo la uzazi.+