Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 17:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na kila mwanamume wa kwenu wa umri wa siku nane lazima atahiriwe,+ kulingana na vizazi vyenu, yeyote aliyezaliwa ndani ya nyumba na yeyote aliyenunuliwa kwa pesa kutoka kwa mgeni yeyote ambaye si wa uzao wako.

  • Mambo ya Walawi 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na siku ya nane ngozi ya govi la mtoto huyo itatahiriwa.+

  • Luka 2:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi siku nane+ zilipotimia ili kumtahiri,+ akaitwa pia jina lake Yesu,+ lile jina aliloitwa na malaika kabla hajachukuliwa mimba katika tumbo la uzazi.+

  • Yohana 7:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa sababu hiyo Musa amewapa tohara+​—⁠si kwamba inatoka kwa Musa, bali kwamba inatoka kwa mababu+⁠—​nanyi mnatahiri mtu siku ya sabato.

  • Matendo 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Alimpa pia agano la tohara;+ na kwa hiyo akamzaa Isaka+ na kumtahiri siku ya nane,+ na Isaka akamzaa Yakobo, na Yakobo akawazaa wale vichwa vya familia kumi na wawili.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki