Zaburi 35:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kati ya wenye dhihaka, walioasi imani, kwa ajili ya keki,+Kulikuwako kusaga meno yao dhidi yangu.+ Zaburi 112:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwovu ataona na hakika atakasirika.+ ש [Shin]Atasaga meno yake na kuyeyuka.+ ת [Taw]Tamaa ya waovu itaangamia.+
16 Kati ya wenye dhihaka, walioasi imani, kwa ajili ya keki,+Kulikuwako kusaga meno yao dhidi yangu.+
10 Mwovu ataona na hakika atakasirika.+ ש [Shin]Atasaga meno yake na kuyeyuka.+ ת [Taw]Tamaa ya waovu itaangamia.+