Zekaria 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini waliendelea kukataa kusikiliza,+ nao wakaendelea kugeuza bega kwa ukaidi,+ wakafanya masikio yao kuwa magumu mno yasiweze kusikia.+ Luka 16:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa hiyo akaita na kusema, ‘Baba Abrahamu,+ nihurumie, umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake katika maji aupoze ulimi wangu,+ kwa sababu nimo katika maumivu makali katika moto huu unaowaka vikali.’+
11 Lakini waliendelea kukataa kusikiliza,+ nao wakaendelea kugeuza bega kwa ukaidi,+ wakafanya masikio yao kuwa magumu mno yasiweze kusikia.+
24 Kwa hiyo akaita na kusema, ‘Baba Abrahamu,+ nihurumie, umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake katika maji aupoze ulimi wangu,+ kwa sababu nimo katika maumivu makali katika moto huu unaowaka vikali.’+