2 Mwangalieni Abrahamu+ baba yenu+ na Sara+ ambaye hatua kwa hatua aliwazaa ninyi kwa uchungu wa kuzaa mtoto. Kwa maana alikuwa mmoja nilipomwita,+ nami nikambariki na kumfanya kuwa wengi.+
9 na msiseme moyoni mwenu, ‘Abrahamu ndiye baba yetu.’+ Kwa maana ninawaambia ninyi kwamba Mungu anaweza kumwinulia Abrahamu+ watoto kutoka katika mawe haya.