11 “Na mataifa mengi yatajiunga na Yehova siku hiyo,+ nao watakuwa watu wangu;+ nami nitakaa katikati yako.” Nawe utajua kwamba Yehova wa majeshi amenituma kwako.+
27 Walipokuwa wamefika na wakiwa wamelikusanya kutaniko pamoja, wakaeleza mambo mengi+ ambayo Mungu alikuwa amefanya kupitia kwao, na kwamba alikuwa amewafungulia mataifa mlango wa kuingia katika imani.+