Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zekaria 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Na mataifa mengi yatajiunga na Yehova siku hiyo,+ nao watakuwa watu wangu;+ nami nitakaa katikati yako.” Nawe utajua kwamba Yehova wa majeshi amenituma kwako.+

  • Luka 2:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 nuru+ ya kuondoa utaji+ kwa mataifa+ na utukufu wa watu wako Israeli.”

  • Matendo 14:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Walipokuwa wamefika na wakiwa wamelikusanya kutaniko pamoja, wakaeleza mambo mengi+ ambayo Mungu alikuwa amefanya kupitia kwao, na kwamba alikuwa amewafungulia mataifa mlango wa kuingia katika imani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki